Shamsa Ford awakataa Wolper na Wema Sepetu

kutokea upande wa kushoto pichani ni Shamsa Ford, katikati ni Wolper, kulia ni Wema Sepetu.

Muigizaji wa filamu na mfanyabiashara, Shamsa Ford, amesema atawa 'unfollow' Jacqueline Wolper na Wema Sepetu na atamuacha Irene Uwoya, endapo ataambiwa achague abaki na staa gani kati ya hao kwenye mtandao wa Instagram.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS