Mrithi wa Sosopi apatikana

John Justine Pambalu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la CHADEMA.

John Justine Pambalu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la CHADEMA, akichukua nafasi ya Patrick Ole Sosopi, ambaye uongozi wake umefikia ukomo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS