Mrithi wa Sosopi apatikana John Justine Pambalu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la CHADEMA. John Justine Pambalu amechaguliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa Baraza la Vijana la CHADEMA, akichukua nafasi ya Patrick Ole Sosopi, ambaye uongozi wake umefikia ukomo. Read more about Mrithi wa Sosopi apatikana