Ahukumiwa kwa kuhatarisha maisha ya Wanyama
Mahakama ya Wilaya ya Ifakara, mkoani Morogoro, imemuhukumu kutumikia kifungo cha mwaka 1 jela au faini ya shilingi Milioni 2 pamoja na kuviteketeza viuatilifu kwa gharama zake mwenyewe, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Yerusalem Mwamaja (49), baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa