Ahukumiwa  kwa kuhatarisha maisha ya Wanyama

Mahakama ya Wilaya ya Ifakara, mkoani Morogoro.

Mahakama ya Wilaya ya Ifakara, mkoani Morogoro, imemuhukumu kutumikia kifungo cha mwaka 1 jela au faini ya shilingi Milioni 2 pamoja na kuviteketeza viuatilifu kwa gharama zake mwenyewe, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Yerusalem Mwamaja (49), baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS