Kijana wa miaka 22 ambaka mwanamke wa miaka 27
Mahakama ya Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, imemuhukumu Kijana Mahadi Elias maarufu kwa jina Maiko, mwenye umri wa miaka 22 mkazi wa Kijiji cha Stahabu wilayani humo, kifungo cha miaka 30 jela kwa tuhuma za kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 27.