ACT Wazalendo waikumbuka Dodoma

Chama cha ACT Wazalendo kimekabidhi mifuko 40 ya Saruji  kama mwendelezo wa utekelezaji wa ahadi ya kujenga Zahanati kwenye Kijiji cha Chidolu kilichopo Wilaya ya Bahi Mkoa wa Dodoma ambacho kinaongozwa na ACT Wazalendo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS