"Kipindi cha mashaka kimewadia"- Manara
Afisa Habari wa Klabu ya Simba SC, Haji Manara amefunguka na kuwataka mashabiki wa wekundu wa msimbazi popote walipo Jijini Dar es Salaam wajitokeza kuenda kuwapa msaada kuwaokoa Yanga SC kufuatia mvua zinazoanza kunyesha.

