Serikali yatumbua mmoja
Waziri wa maji Mhandisi Isaac Kamwele ameagiza kuondolewa kwa msimamizi wa mradi mkubwa wa maji katika kata ya Nguruka wilayani Kigoma Erick Suma baada ya mradi huo uliokuwa ukamilike mwezi Disemba mwaka jana kutokamilika hadi sasa.

