TMA yatoa angalizo

Mamlaka ya hali ya hewa iliyopo chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano nchini Tanzania imewatahadharisha wananchi kuwepo kwa mvua kubwa katika baadhi ya mikoa ya Rukwa, Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe na Ruvuma kuanzia leo usiku.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS