"Nilimpa nafasi Nandy asikike"- Ruby

Msanii wa kizazi kipya ambaye kwa sasa amerudi na ngoma aliyoipa jina 'Are U Ready' amejibu swali la wapenzi wengi wa burudani kwamba aliamua kuwa kimya kwa muda mrefu ili kumpatia nafasi msanii mwenzake Nandy na siyo kwamba alikuwa akimuogopa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS