Wanaume wasisitizwa kuhusu kliniki
Afisa Muuguzi msaidizi katika Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Shinyanga, Dk. Rehema Kapita, ametoa wito kwa wanaume kujenga tabia ya kuhudhuria kliniki na wenzi wao pale wanapokuwa wajawazito, ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.