Wanaume wasisitizwa kuhusu kliniki

Afisa Muuguzi msaidizi katika Hospitali ya Rufani ya mkoa wa Shinyanga, Dk. Rehema Kapita, ametoa wito kwa wanaume kujenga tabia ya kuhudhuria kliniki na wenzi wao pale wanapokuwa wajawazito, ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS