Mwanamke auliwa kwa kuchomwa moto Maafisa wa polisi katika mji wa kusini mwa India wa Hyderabad, wamesema, wamemkamata mwanamume mmoja baada ya mwanamke mmoja kuchomwa moto hadi kufa wakati wa mgogoro. Read more about Mwanamke auliwa kwa kuchomwa moto