Man City mbioni kuvunja rekodi yake Klabu ya Manchester City imefikia makubaliano na klabu ya Athletic Bilbao kulipa kiasi cha £57m takribani shilingi bilioni 158 kwaajili ya kukamilisha usajili wa mlinzi wa kati wa klabu hiyo Aymeric Laporte. Read more about Man City mbioni kuvunja rekodi yake