Waziri wa Nishati atoa agizo TANESCO

Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani ametoa agizo kwa shirika la umeme nchini TANESCO mkoa wa Kagera kuhakikisha linanunua Spea za akiba ili kuepuka usumbufu kwa wananchi kukosa umeme mara kwa mara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS