Waziri wa Nishati atoa agizo TANESCO Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani ametoa agizo kwa shirika la umeme nchini TANESCO mkoa wa Kagera kuhakikisha linanunua Spea za akiba ili kuepuka usumbufu kwa wananchi kukosa umeme mara kwa mara. Read more about Waziri wa Nishati atoa agizo TANESCO