Hakuna timu nisiyoiweza ifundisha- Moyes

Meneja wa wagonga nyundo wa London West Ham United David Moyes, amesema uwezo alionao kwa sasa anaweza kuifundisha timu yoyote duniani na anataka kuonesha kama ana uwezo huo akiwa na klabu yake ya West Ham United.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS