Meya akanusha tuhuma kuhusu CCM
Meya wa Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro, Raymond Mboya amekanusha tetesi za kujivua wadhifa wake na kuhama CHADEMA kisha kuhamania CCM na kufafanua kwamba wanaofanya hivyo hawazitendei haki kazi ambazo wamepewa na wananchi.