TAKUKURU yafunguka kuhusu Nehemia Mchechu

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU imekanusha taarifa zilizosambaa mtandaoni kuwa wanamshikilia aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC Nehemia Mchechu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS