Baada ya kipigo, Azam FC yasafiri Baada ya kupoteza mchezo wake wa raundi ya 15 wa ligi kuu soka Tanzania Bara dhidi ya Yanga SC, klabu ya Azam FC imesafiri kuelekea Morogoro kwaajili ya mchezo wa kombe la shirikisho. Read more about Baada ya kipigo, Azam FC yasafiri