Amuua mke mwenza na kumzika shambani

Maaskari wakifukua mwili wa Noelina aliyeuliwa na mke mwenza

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Kamishna Msaidizi Muandamizi wa Polisi (SACP), Augustine Ollomi amesema picha zinazoendelea kusambaa mtandaoni zikionyesha askari Polisi wilayani Ngara Mkoani Kagera wakishirikiana na wananchi kufukua mwili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS