Mbunge wa CHADEMA, ajiuzulu na kujiunga CCM

Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Godwin Oloyce Mollel ametangaza kujivua rasmi uanachama wa chama hicho na kujiuzulu nafasi yake ya ubunge.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS