Meya wa Dar kuongea na Umoja wa Mataifa
Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita, anatarajia kuzungumza katika mkutano wa kujadili changamoto zinazo wakabili viongozi wa serikali za mitaa, ulioandaliwa na Umoja wa Mataifa jijini Addis Ababa nchini Ethiopia.