Hatima ya waliofukuzwa kwa vyeti feki

Shirikisho la Vyama Vya wafanyakazi Nchini, TUCTA, limetangaza kwamba, hatma kuhusu kulipwa kifuta jasho kwa wafanyakazi walioondolewa kwenye utumishi kwa vyeti feki itatolewa kati ya mwezi  Machi na Aprili mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS