Bashe awaandikia ujumbe Makocha wa CCM Mbunge wa Nzega Mjini Mh. Hussein Bashe amemtaka kocha mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM na Makocha wasaidizi kuwa na umoja na ushirikiano ili kufikia malengo ya Chama na Serikali. Read more about Bashe awaandikia ujumbe Makocha wa CCM