Mbunge aapa kujiuzulu

Mbunge wa Nyando Jared Okello (kushoto) akikabidhiwa cheti cha ushindi wa ubunge Agosti 2017.

Mbunge wa Nyando nchini Kenya Jared Okello ametishia kujiuzulu ikiwa kiongozi wa upinzani ( NASA) Raila Odinga hataapishwa kuwa Rais wa wananchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS