Sipaswi kuonekana hivi- Beka Flavour
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye awali alikuwa kwenye kundi la Yamoto Band na sasa anafanya muziki mwenyewe, Beka Flavour, amesema kwa alipofikia yeye hapaswi kuonekana chipukizi kwani alishakuwepo kwenye game kitambo.