Hatujaachana na Shika - Mambosasa Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Lazaro Mambosasa amekanusha taarifa za kuachana na kesi ya Dkt.Louis Shika, na kusema kwamba kesi yake bado ipo pale pale isipokuwa hawajaipa kipaumbele. Read more about Hatujaachana na Shika - Mambosasa