Heshima ya Bongo Fleva Dudubaya anena

Dudubaya akiwa na Professional Dj wa EA radio, Dj Dea ndani ya studio za EA radio.

Mkongwe Dudubaya 'Mamba' amewaomba wakongwe wenzake kutowa -diss wasanii wadogo wanaofanya vizuri kwenye game ya sasa , huku akiongeza kama wanahitaji heshima zaidi wanapaswa kujijengea kwanza kabla ya kupatiwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS