Dudubaya akiwa na Professional Dj wa EA radio, Dj Dea ndani ya studio za EA radio.
Mkongwe Dudubaya 'Mamba' amewaomba wakongwe wenzake kutowa -diss wasanii wadogo wanaofanya vizuri kwenye game ya sasa , huku akiongeza kama wanahitaji heshima zaidi wanapaswa kujijengea kwanza kabla ya kupatiwa.