Hawa kupambana mtoano Sprite BBall Kings
Droo ya pili ya kupanga ratiba ya michuano ya kikapu ya 'Sprite Bball Kings' imefanyika usiku wa kuamkia leo Jijini Dar es salaam kwa usimamizi wa Shirikisho la mpira wa kikapu Tanzania {TBF} kushirikiana na EATV LTD na kushuhudiwa na timu shiriki.

