Sholo Mwamba amkimbiza Man fongo studio
Mesen Selekta ajibu kashfa ya kutaka kumpiga changa la macho Man fongo Mil 10 kwa kudai msanii huyo alishindwa kutimiza makubaliano ya kazi iliyoandaliwa na kampuni ya mawasiliano kwa kuhofia kushiriki katika wimbo mmoja na msanii Sholo Mwamba.