Raia wa kigeni nchini wapewa siku 90 Anna Makakala, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imetoa siku 90 kwa wageni kufanya uhakiki wa vibali vya ukaazi ili kuimarisha udhibiti wa wageni wanaoishi nchini pamoja na kuzuia mianya ya upotevu wa maduhuli ya serikali. Read more about Raia wa kigeni nchini wapewa siku 90