Raia wa kigeni nchini wapewa siku 90

Anna Makakala, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji

Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imetoa siku 90 kwa wageni kufanya uhakiki wa vibali vya ukaazi ili kuimarisha udhibiti wa wageni wanaoishi nchini pamoja na kuzuia mianya ya upotevu wa maduhuli ya serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS