Mchezaji ajinyonga gerezani
Mchezaji wa zamani American Footballl, NFL Aaron Hernandez, aliyekuwa akitumikia kifungo cha maisha na siku chache zilizopita alijaribu kutaka kujiua mara mbili, amekutwa amekufa kwenye chumba cha gereza baada ya kujinyonga mapema hii leo.