TAKUKURU yaokoa mabilioni ya fedha za umma Rais Magufuli amepokea ripoti ya mwaka 2015/2016 ya utendaji kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) iliyowasilishwa kwake na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU Kamishna Valentino Mlowola. Read more about TAKUKURU yaokoa mabilioni ya fedha za umma