Madaktari walioomba kazi Kenya kuajiriwa Tanzania

Rais John Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameagiza kuwaajiri madaktari 258 pamoja na wataalam wengine 11 waliojitokeza kuomba ajira nchini Kenya na kukidhi vigezo vilivyohitajika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS