Marehemu mzee Ngosha amuachia 'kitu' Mpoto

Msanii wa muziki wa kughani nchini Tanzania, Mrisho Mpoto amesikitishwa na kifo cha Mzee Francis Kanyasu aliyechora Nembo ya Taifa na kusema anatamani siku zirudi nyuma ili aweze kuongea naye tena.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS