Madaktari walioomba kazi Kenya kuajiriwa Tanzania Rais John Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameagiza kuwaajiri madaktari 258 pamoja na wataalam wengine 11 waliojitokeza kuomba ajira nchini Kenya na kukidhi vigezo vilivyohitajika. Read more about Madaktari walioomba kazi Kenya kuajiriwa Tanzania