Marehemu mzee Ngosha amuachia 'kitu' Mpoto Msanii wa muziki wa kughani nchini Tanzania, Mrisho Mpoto amesikitishwa na kifo cha Mzee Francis Kanyasu aliyechora Nembo ya Taifa na kusema anatamani siku zirudi nyuma ili aweze kuongea naye tena. Read more about Marehemu mzee Ngosha amuachia 'kitu' Mpoto