Kocha wa zamani wa Simba atimuliwa Ghana Kocha Zdravko Logarusic Kocha wa zamani wa vilabu vya Simba ya Tanzania, Gor Mahia na AFC Leopard za Kenya Zdravko Logarusic amevunja mkataba na klabu ya ligi kuu ya Ghana, Asante Kotoko. Read more about Kocha wa zamani wa Simba atimuliwa Ghana