Kocha wa zamani wa Simba atimuliwa Ghana

Kocha Zdravko Logarusic

Kocha wa zamani wa vilabu vya Simba ya Tanzania, Gor Mahia na AFC Leopard za Kenya Zdravko Logarusic amevunja mkataba na klabu ya ligi kuu ya Ghana, Asante Kotoko.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS