Mwendawazimu anaweza asipongeze hili : Lema

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema amefunguka kuwa hakuna mtu anayepinga ulindwaji wa rasilimali za nchi hii na kudai labda mwendawazimu ndiye anayeweza kupinga, na kuongeza kuwa shida ipo kwenye namna ya ulindaji wa rasilimali hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS