Meneja Maneno ataja alikomtoa Sam wa Ukweli

Meneja wa wasanii wa muziki wa Bongo maarufu kwa jina la Meneja Maneno ambaye amefunguka jinsi alivyomtoa msanii Sam wa Ukweli, na kuweka wazi kuwa alimkuta akiwa anauza matunda lakini aligundua kuwa ana kipaji na kuamua kufanya naye kazi 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS