Banda asimamishwa kucheza ligi kuu

Abdi Banda

Beki wa Simba, Abdi Banda amesimamishwa kucheza Ligi Kuu wakati akisubiri suala lake la kumpiga ngumi kiungo wa Kagera Sugar, George Kavilla wakati akiwa hana mpira kusikilizwa na kutolewa uamuzi na Kamati ya Nidhamu ya TFF

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS