Mangu amkabidhi Sirro Pwani

IGP (Mpya) Simon Sirro, Kulia ni aliyekuwa IGP Ernest Mangu.

Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu amewataka wananchi kumpa ushirikiano IGP mpya, Simon Sirro katika kukabiliana na matukio ya uhalifu nchini hasa katika Mkoa wa Pwani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS