Taifa Stars kuweka kambi Misri, Mkude abaki

Taifa Stars katika moja ya mechi zake, Taifa Dar es Salaam

Kikosi cha wachezaji 20 wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania 'Taifa Stars' kinatarajiwa kuondoka kesho Jumanne saa 10.45 jioni kwenda Misri kufanya kambi ya siku nane kujindaa na mchezo dhidi ya Lesotho utakaofanyika Juni 10, 2017, Dar es Salaam.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS