Msanii siyo malaika - Irene Uwoya

Irene Uwoya

Malkia wa filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kwa kusema anachukizwa na tabia za baadhi ya mashabiki waliopo mitandaoni kushindwa kutoa ushauri kistaarabu na badala yake kuanza kuwashambulia kwa kuwatukana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS