Stamina afungukia kulainisha mashairi
Rappa Stamina anaye-hit kwa sasa na ngoma ya 'Love Me' amefunguka na kudai ameamua kuimba wimbo wa mapenzi, siyo kwa sababu nyimbo zake ngumu zimebuma bali amebadilika kidogo ili kuimba vitu vilivyopo kwenye jamii kwa kuwa yeye ni msanii.

