Walioteuliwa na Rais waapishwa Ikulu

Viongozi walioapishwa wakila kiapo cha maadili ya utumishi wa umma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 27 Mei, 2017 amemuapisha Bw. Tixon Tuyangine Nzunda kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) - anayeshughulikia Elimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS