Walimu wa Sayansi wastaafu kurudishwa makazini

Naibu wa Wizara ya TAMISEMI, Mhe. Seleman Jaffo

Serikali ya Tanzania imesema kuwa katika kumaliza tatizo la walimu wa sayansi nchini serikali itatoa kipaumbele cha ajira kwa walimu wa masomo hayo lakini pia wataandaa utaratibu maalumu wa kuwarejesha walimu wastaafu wa masomo ya Sayansi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS