Magufuli awaalika wawekezaji kutoka China

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na wageni wake kutoka Nchini China.

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amewaalika wawekezaji kutoka Jimbo la Jiangsu la nchini China kuungana na Tanzania katika utekezaji wa mpango wa ujenzi wa viwanda na ujenzi wa miundombinu hususani reli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS