Jose Mourinho amsaka beki Muivory Coast

Beki wa timu ya Villarreal Eric Bailly wa mbele mwenye jezi ya njano

Zoezi la usajili linandelea ndani ya Manchester United, baada ya timu hiyo kuweka mezani ofa ya kitita cha pauni milioni 30 kwa ajili ya kusaka saini beki kisiki wa Villarreal Eric Bailly na kuzipiku timu za Bayern Munich na Arsenal.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS