Tumuenzi Ngwea: Stara Thomas

Msanii wa Bongo fleva na muziki wa Injili Stara Thomas

Msanii mkongwe wa Bongo fleva ambaye kwa sasa ameamua kujiingiza katika muziki wa Injili Stara Thomas amewataka wasanii na mashabiki kumuenzi rapa Albert Mangwea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS