Kilimanjaro yaongoza Ukatili wa Kijinsia

Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama.

UKATILI wa Kijinsia unaongoza Mkoa wa Kilimanjaro ni wa utelekezaji familia, ambapo akina baba huwafukuza wake zao na watoto bila kujali watalala na kula wapi, jambo linalochangia ongezeko la watoto wa mtaani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS