Pah One warejea nchini na 'Kizubaneta'

wasanii wa kundi maarufu la Pah One nchini Tanzania

Kundi la muziki la Pah One, ambalo limeweza kupotea katika gemu ya muziki kwa muda mrefu sasa, limesema kuwa ukimya wao ulitokana na shughuli zao za muziki ambazo zilikua zinaendelea huko Congo, Ivory Coast na Afrika Kusini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS