Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Simba yaihurumia Yanga katika usajili

Saturday , 21st Jul , 2018

Klabu ya Simba kupitia kwa kaimu Makamu wake wa Rais, Salim Abdallah ‘Try Again’ imesema kuwa haiwezi kusajili mchezaji yoyote kutoka klabu ya Yanga kwa sasa kwakuwa inafahamu hali ngumu inayoikumba klabu hiyo.

Wachezaji wa Simba na Yanga wakiwa katika hali ya ushindi.

Inafahamika kuwa siku za karibuni kumekuwa na tetesi za Simba kutaka kumsajili mchezaji Kelvin Yondani kutoka kwa mahasimu wao baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa msimu uliokwisha.

Baada ya tetesi hizo kusambaa ndipo uongozi wa Yanga kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati maalumu ya kuinusuru klabu hiyo, Abbas Tarimba walipokutana na Yondani na kumalizana naye kwaajili ya kuendelea kucheza msimu ujao.

Akizungumzia kuhusu tetesi hizo, Try Again amesema kuwa Yondani ni mchezaji Tegemeo wa Yanga na endapo Simba ikimsajili manaake wataibomoa klabu hiyo na itakuwa haijengi mpira wa Tanzania akilinganisha na usajili wa msimu uliokwisha wa Haruna Niyonzima na Ibrahim Ajibu kwa klabu hizo.

Tunafahamu Yanga wako kwenye matatizo, na hali ngumu sasa tunapoendelea kuwabomoa hatuusaidii mpira bali tunaudidimiza mpira “. Amesema Salim Abdallah

Msimu uliopita klabu ya Simba ilimsajili Haruna Niyonzima kutoka Yanga na Yanga ilimsajili Ibrahim Ajibu kutoka Simba wakiwa na mategemeo makubwa ya kufanya vizuri katika ligi lakini wachezaji hao wakuweza kuzisaidia klabu zao kwa kiwango ambacho kilitarajiwa.

Ajib alimaliza msimu akiwa na magoli 7 pekee huku Haruna Niyonzima akicheza katika mzunguko wa kwanza wa ligi pekee baada ya kuumia katika mzunguko wa pili.

 

 

HABARI ZAIDI

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross