Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyetumbuliwa na Sirro aaga kazini kwa 'mbwembwe'

Wednesday , 20th Feb , 2019

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Jonathan Shana amewaaga maofisa wa polisi na waandishi wa habari mkoani Mwanza kwa namna ya tofauti baada ya nafasi yake kuteuliwa Kamanda Jumanne Muliro ambaye alikuwa Kindondoni Jijini Dar es salaam.

Mkuu wa Jeshi la Polisi Simon Sirro.

Akizungumzia na baadhi ya maaskari polisi mkoani Mwanza huku akionekana na mtu mwenye furaha Kamanda Shana amewataka polisi kumpa ushirikiano kamanda huyo mpya.

Akizungumza kwa sauti ya ujazo na kuyataja kwa madaha baadhi ya maneno, Kamanda Shana amesema, "katika mabadiliko yalioyofanyika hivi karibuni aliteuliwa Kamanda Jumane Muliro  kushika kamanda wa polisi Mwanza."

"Niwaombe kwa dhati kama mlivyonipa mimi ushirikiano kwa jiji la Mwanza nyinyi mnaloliita Rock city na mimi naliita the beatifully city of Mwanza liendelea kuwa shwari."

"Nashukuru katika kipindi changu sikuwahi kulalamikiwa na chama chochote cha siasa, tulifanya kwa ushirikiano niwaalike vyama vingine vije vijifunze Mwanza  juu ya kulinda amani. shangilia vyama vya siasa machampioni wa amani", ameongeza Kamanda Shana.

Oktoba mwaka jana akiwa wilayani Butiama kwenye kumbukumbu ya siku ya Mwalimu Julius Nyerere Kamanda Shana alizua mjadala kwenye mitandao ya kijamii wakati akiwasalimia baadhi ya wananchi wilayani humo ambapo alitumia salama ya Chama Cha Mapinduzi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja

Mabaki ya gari aina ya Noah iliyopata ajali Morogoro

Ajali yachukua uhai wa watu saba Morogoro

Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba

Wawekezaji wawekeze sekta za uzalishaji - Nchemba

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa