Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ataka Tume ya Uchaguzi iwe kama CAG

Tuesday , 14th May , 2019

Mwanaharakati Bob Chacha Wangwe amependekeza Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi (NEC), kupewa nguvu ya kikatiba kama aliyopewa Mkaguzi na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali CAG, ili aweze kutekeleza majukumu yake kikamilifu.

Chacha Wangwe ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast cha East Africa Radio, ambapo amesema endapo akipewa nguvu hiyo itamlinda kikatiba.

"Tumependekeza kuwepo kwa mfuko maalum ambao utawafanya Tume ya Uchaguzi kujiendesha na sio mpaka kuomba Serikali kuu, pia tunapendekeza kiongozi wa Tume apewe ulinzi wa kikatiba kama ilivyokuwa kwa CAG ambaye anaweza kupambana na watu wakubwa kama Spika Ndugai." amesema Bob Chacha Wangwe.

"Kwa muundo uliopo sasa hivi, Wakurugenzi wengi walikuwa ni wagombea Ubunge ambao walishindwa, na wengine ni makada wa vyama vya siasa", ameongeza Bob Chacha Wangwe.

Hivi karibuni Bob Chacha Wangwe alifungua kesi Mahakama kuu ya Tanzania kupinga sheria inayowapa mamlaka Wakurugenzi wa Halmashauri kusimamia uchaguzi huku wakiwa na mahusiano na vyama vya siasa, kesi ambayo Mahakama ilimpa ushindi lakini kupitia Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jamhuri imekata rufaa.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi