Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yatoa neno kuhusu Katiba Mpya

Saturday , 20th Apr , 2019

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally amesema kwa sasa hawezi kutoa neno lolote kuhusiana na mchakato wa Katiba mpya kwa kile alichokisema neno lake litapelekea kulifanya suala hilo lisijadiliwe tena hasa na Wabunge wa CCM, ikiwa siku chache baada ya Bungeni jijini Dodoma kuibuka kwa suala

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally.

la Katiba mpya baina ya Wabunge wa Upinzani na CCM, wakati wa kujadili suala Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria.

Akizungumzia suala la Katiba mpya Katibu Mkuu huyo wa CCM amesema yeye alifuatilia hoja za Wabunge wa Upinzani ambao walitoa michango yao wakati Bunge lilipokaa kama Kamati kujadili bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria ambapo amesema Katiba mpya ni sehemu mambo yaliyoainishwa kwenye ilani ya uchaguzi wa chama hicho.

Nilikuwa nafuatilia kwa karibu mijadala inayoendelea bungeni na hasa kuhusu Katiba mpya, malumbano bila kutukanana ndiyo afya ya demokrasia, sitajibu suala hilo kwa sasa kwa sababu nikitoa kauli yangu nitaufunga mjadala huo.” amesema Bashiru

Kwa sasa Bunge linaendelea jijini Dodoma ambapo Mawaziri mbalimbali wameendelea kuwasilisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara zao kwa mwaka 2019/2020.

Wiki iliyopata Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Muungano na Mazingira, Katiba na Sheria pamoja na Wizara ya TAMISEMI zote ziliwasilisha makadirio yao ya bajeti kwa mwaka ujao wa fedha.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Kiburugwa ambako Nyumba zaidi ya Tisa Zimebomolewa na Maporomoko ya Tope

Maporomoko ya udongo yasomba nyumba 9 Mbagala

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ